Swali: Ni ipi hukumu ya mtu kusema katika du´aa yake:
”Je, katika ulimwengu kuna mungu mwingine asiyekuwa Wewe aombwe?”
Jibu: Si katika ulimwengu, asiseme: ”Je.” Bali aseme: ”Hakuna katika ulimwengu” kwa njia ya kukanusha. Kuuliza kwa maana ya kusisitiza kwa nia hiyo. Kwa maana nyingine hakuna katika ulimwengu. Ama ikiwa ni kwa namna ya shaka, haijuzu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31074/حكم-الدعاء-بـ-هل-في-الوجود-اله-سواك-فيدعى
- Imechapishwa: 02/10/2025
Swali: Ni ipi hukumu ya mtu kusema katika du´aa yake:
”Je, katika ulimwengu kuna mungu mwingine asiyekuwa Wewe aombwe?”
Jibu: Si katika ulimwengu, asiseme: ”Je.” Bali aseme: ”Hakuna katika ulimwengu” kwa njia ya kukanusha. Kuuliza kwa maana ya kusisitiza kwa nia hiyo. Kwa maana nyingine hakuna katika ulimwengu. Ama ikiwa ni kwa namna ya shaka, haijuzu.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31074/حكم-الدعاء-بـ-هل-في-الوجود-اله-سواك-فيدعى
Imechapishwa: 02/10/2025
https://firqatunnajia.com/hakuna-katika-ulimwengu-mungu-mwingine-wa-kuombwa-zaidi-ya-allaah/