Swali: Kuna baadhi ya wanafunzi wanaosema kuwa Bid´ah zinatofautiana; kuna Bid´ah zenye kukufurisha, Bid´ah zenye kumtia mtu katika dhambi na Bid´ah zilizo chini ya hapo na kwamba hii ya mwisho imechukizwa na haikuharamishwa…
Jibu: Hapana, imeharamishwa. Kila Bid´ah ni yenye kuharamishwa. Hakuna Bid´ah iliyochukizwa. Maneno haya si sahihi:
“Nakutahadharisheni na mambo yaliyozuliwa. Kwani hakika kila Bid´ah ni upotevu.”
Hawa wanasema kuwa imechukizwa tu na sio upotevu?
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (79) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-9-2-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 05/03/2018
Swali: Kuna baadhi ya wanafunzi wanaosema kuwa Bid´ah zinatofautiana; kuna Bid´ah zenye kukufurisha, Bid´ah zenye kumtia mtu katika dhambi na Bid´ah zilizo chini ya hapo na kwamba hii ya mwisho imechukizwa na haikuharamishwa…
Jibu: Hapana, imeharamishwa. Kila Bid´ah ni yenye kuharamishwa. Hakuna Bid´ah iliyochukizwa. Maneno haya si sahihi:
“Nakutahadharisheni na mambo yaliyozuliwa. Kwani hakika kila Bid´ah ni upotevu.”
Hawa wanasema kuwa imechukizwa tu na sio upotevu?
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (79) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-9-2-1439-01.mp3
Imechapishwa: 05/03/2018
https://firqatunnajia.com/hakuna-bidah-zilizochukizwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
