Swali: Ni ipi hukumu ya kuwafunza watoto herufi zilizoambatana na picha za viumbe vilivyo na roho ili iwe wepesi kwa watoto kuhifadhi na kutambua?
Jibu: Waislamu wamejifunza elimu ambayo wewe huwezi kupata hata sehemu ya kumi yake pasi na kuhitajia picha. Jiepushe nazo na jitenge nazo mbali.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ighaathat-il-Lahfaan (74) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-25-01-1439H-01.mp3
- Imechapishwa: 11/11/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)