Swali: Kuna wengi wanaouliza kuhusu Hafswah na Jundub (Radhiya Allaahu ´anhumaa) walivyowaua wachawi. Je, hapa kuna dalili ya kwamba inafaa kwa kila mmoja kumuua mchawi pasi na idhini ya mtawala au ni ijtihadi waliofikia?
Jibu: Baada ya hakimu kuhukumu huyu mstahiki wa kuuawa, ni lazima jambo lipelekwe kwa mtawala. Lakini hawa ni Maswahabah ambao walikuwa na nafasi yao, elimu na fadhila zao. Wao si kama sisi na wengine. Maswahabah wanatofautiana na wengine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
- Imechapishwa: 06/08/2017
Swali: Kuna wengi wanaouliza kuhusu Hafswah na Jundub (Radhiya Allaahu ´anhumaa) walivyowaua wachawi. Je, hapa kuna dalili ya kwamba inafaa kwa kila mmoja kumuua mchawi pasi na idhini ya mtawala au ni ijtihadi waliofikia?
Jibu: Baada ya hakimu kuhukumu huyu mstahiki wa kuuawa, ni lazima jambo lipelekwe kwa mtawala. Lakini hawa ni Maswahabah ambao walikuwa na nafasi yao, elimu na fadhila zao. Wao si kama sisi na wengine. Maswahabah wanatofautiana na wengine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (61) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20majid-%2029%20-0%206-1438.mp3
Imechapishwa: 06/08/2017
https://firqatunnajia.com/hakimu-tu-ndiye-anayemhukumu-mchawi-kuuawa/