Swali: Wakati mwingine inatokea yule jini kuzungumza wakati wa kumsomea yule mgonjwa matabano ya Kishari´ah na wakabainisha ni wapi ulipo uchawi. Je, inajuzu kwenda kutafuta sehemu hiyo iliyoelekezwa na jini hili?
Jibu: Haijuzu kuwasadikisha wala kukubali chochote kutoka kwao.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (60) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16548
- Imechapishwa: 10/09/2017
Swali: Wakati mwingine inatokea yule jini kuzungumza wakati wa kumsomea yule mgonjwa matabano ya Kishari´ah na wakabainisha ni wapi ulipo uchawi. Je, inajuzu kwenda kutafuta sehemu hiyo iliyoelekezwa na jini hili?
Jibu: Haijuzu kuwasadikisha wala kukubali chochote kutoka kwao.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (60) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16548
Imechapishwa: 10/09/2017
https://firqatunnajia.com/haijuzu-kuwasadikisha-majini/