Swali: Je, tuwatahadharishe wale wanaomkufurisha Ibn Hjar na an-Nawawiy (Rahimahumaa Allaah)?
Jibu: Wanasihi waache jambo hilo. Hawa ni wajinga. Ibn Hjar na an-Nawawiy ni maimamu; ni maimamu wa waislamu na Muhaddithuun. Wana fadhila. Ikiwa walikosea wakati wa kusimulia baadhi ya nukuu, basi itambulike kuwa mnukuaji hana kosa. Inasemekana kuwa yule mwenye kunukuu ukafiri sio kafiri. Katika maelezo yao wananakili yanayosemwa na wengine. Wasichukuliwe kwa hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (62) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majd14-07-%201438.mp3
- Imechapishwa: 22/07/2017
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)