Swali: Ni ipi hukumu ya du´aa ya kukhitimisha Qur-aan? Je, ni wajibu endapo itaachwa?

Jibu: Ni yenye kupendeza kwa mtazamo wa wanazuoni na si wajibu. Imefanywa na baadhi ya Maswahabah na ikafanywa na wanazuoni.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1092/ما-حكم-دعاء-ختم-القران
  • Imechapishwa: 23/01/2026