Swali: Ikiwa msikiti una kama korido nje ya msikiti na mtu akaingia ndani; je, asome du´aa pale atapoingia katika korido hiyo au asome pale atapoingia kwenye msikiti wenyewe?
Jibu: Asome pale atapoingia mlango wa msikiti. Ni mamoja ni katika korido au kwenye msikiti wenyewe.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
- Imechapishwa: 07/11/2018
Swali: Ikiwa msikiti una kama korido nje ya msikiti na mtu akaingia ndani; je, asome du´aa pale atapoingia katika korido hiyo au asome pale atapoingia kwenye msikiti wenyewe?
Jibu: Asome pale atapoingia mlango wa msikiti. Ni mamoja ni katika korido au kwenye msikiti wenyewe.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (49) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/m-3%20%20-%2012%20-%202%20-%201437.mp3
Imechapishwa: 07/11/2018
https://firqatunnajia.com/duaa-ya-kuingia-msikitini-korido/