Swali: Je, inajuzu kusema wakati wa kufuturu:
اللهم لك صمت وعلى رزقك افطرت
“Ee Allaah! Nimefunga kwa ajili Yako na nimefuturu kwa riziki Yako.”
Jibu: Hili halikuthibiti kwa Mtume (´alayhis-Salaam).
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://alwasabi.al3ilm.com/alfatawaa
- Imechapishwa: 10/05/2020
Swali: Je, inajuzu kusema wakati wa kufuturu:
اللهم لك صمت وعلى رزقك افطرت
“Ee Allaah! Nimefunga kwa ajili Yako na nimefuturu kwa riziki Yako.”
Jibu: Hili halikuthibiti kwa Mtume (´alayhis-Salaam).
Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://alwasabi.al3ilm.com/alfatawaa
Imechapishwa: 10/05/2020
https://firqatunnajia.com/duaa-hii-haikuthibiti-wakati-wa-kukata-swawm/