Swali: Je, subira ina daraja moja tu au ina daraja nyingi?
Jibu: Ina daraja tatu zilizobainishwa:
1 – Subira juu ya misiba kwa moyo wake.
2 – Kwa ulimi wake.
3 – Kwa viungo vyote.
Daraja tatu; kwa moyo, kwa maana kwamba asisononeke wala kukata tamaa, kwa ulimi, kwa maana kwamba asiseme yasiyofaa kama kuomboleza, matusi na maneno machafu, na kwa viungo, kwa maana kwamba asijipige uso, asirarue nguo, asijipige shavuni na wala kujimwagia vumbi au mfano wa hayo.
Swali: Mtu akishukuru kwa ulimi wake lakini akafanya kinyume kwa viungo vyake?
Jibu: Huyo hatakuwa mwenye subira.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31125/ما-مراتب-الصبر-وهل-يكفي-باللسان
- Imechapishwa: 04/10/2025
Swali: Je, subira ina daraja moja tu au ina daraja nyingi?
Jibu: Ina daraja tatu zilizobainishwa:
1 – Subira juu ya misiba kwa moyo wake.
2 – Kwa ulimi wake.
3 – Kwa viungo vyote.
Daraja tatu; kwa moyo, kwa maana kwamba asisononeke wala kukata tamaa, kwa ulimi, kwa maana kwamba asiseme yasiyofaa kama kuomboleza, matusi na maneno machafu, na kwa viungo, kwa maana kwamba asijipige uso, asirarue nguo, asijipige shavuni na wala kujimwagia vumbi au mfano wa hayo.
Swali: Mtu akishukuru kwa ulimi wake lakini akafanya kinyume kwa viungo vyake?
Jibu: Huyo hatakuwa mwenye subira.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31125/ما-مراتب-الصبر-وهل-يكفي-باللسان
Imechapishwa: 04/10/2025
https://firqatunnajia.com/daraja-tatu-za-subira/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket