Swali 110: Vipi kuhusu damu baada ya kusafika?
Jibu: Ni hedhi isipokuwa ikiwa itaendelea kwa muda mrefu, basi inakuwa damu ya ugonjwa. Damu inarejeshwa kwenye asili yake, ambayo ni hedhi, isipokuwa ikizidi siku kumi na tano, atarejea katika kawaida yake na damu inayobaki itazingatiwa kuwa ni damu ya ugonjwa.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 61
- Imechapishwa: 17/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket