Swali 719: Je, kuna chochote kilichothibiti wakati wa kupiga chuku?

Jibu: Hapana, hili linategemea haja. Wakati wowote damu inapoanza kuchochekaf, basi afanye chuku.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 251
  • Imechapishwa: 05/07/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´