Swali: Kuna mtu ana jengo na anawakodishia baadhi ya maduka wale wanaouza king´amuzi/dishi, simu na TV. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Salama zaidi awakodishie wengine. Vinginevyo mchanganyiko wa vitu hivi hauna neno. Ni mchanganyiko wa vitu vilivyo na kheri na shari.
Swali: Ndani yake kuna king´amuzi/dishi?
Jibu: Haijuzu kuuza king´amuzi/dishi.
Swali: Anawakodishia?
Jibu: Asiwakodishie wale wanaouza king´amuzi/dishi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21616/حكم-تاجير-المحلات-لمن-يبيع-الدش-ونحوه
- Imechapishwa: 28/08/2022
Swali: Kuna mtu ana jengo na anawakodishia baadhi ya maduka wale wanaouza king´amuzi/dishi, simu na TV. Ni ipi hukumu ya hilo?
Jibu: Salama zaidi awakodishie wengine. Vinginevyo mchanganyiko wa vitu hivi hauna neno. Ni mchanganyiko wa vitu vilivyo na kheri na shari.
Swali: Ndani yake kuna king´amuzi/dishi?
Jibu: Haijuzu kuuza king´amuzi/dishi.
Swali: Anawakodishia?
Jibu: Asiwakodishie wale wanaouza king´amuzi/dishi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21616/حكم-تاجير-المحلات-لمن-يبيع-الدش-ونحوه
Imechapishwa: 28/08/2022
https://firqatunnajia.com/bora-zaidi-wakodishie-wengine/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket