Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia Tasbihi wakati wa kufanya Adhkaar?
Jibu: Kutumia Tasbihi inafaa. Lakini bora ni kuleta Adhkaar kwa vidole. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hesabuni kwa vidole. Kwani hakika vitazungumzishwa.”[1]
[1] Ahmad (06/370), Abu Daawuud (1501) na at-Tirmidhiy (3583) ambaye yeye upokezi wake unasema:
“Hesabuni kwa vidole. Kwani hakika vitaulizwa na vitazungumzishwa.”
- Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 336
- Imechapishwa: 09/05/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kutumia Tasbihi wakati wa kufanya Adhkaar?
Jibu: Kutumia Tasbihi inafaa. Lakini bora ni kuleta Adhkaar kwa vidole. Kwa sababu Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Hesabuni kwa vidole. Kwani hakika vitazungumzishwa.”[1]
[1] Ahmad (06/370), Abu Daawuud (1501) na at-Tirmidhiy (3583) ambaye yeye upokezi wake unasema:
“Hesabuni kwa vidole. Kwani hakika vitaulizwa na vitazungumzishwa.”
Muhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Arkaan-il-Islaam, uk. 336
Imechapishwa: 09/05/2020
https://firqatunnajia.com/bora-kutumia-vidole/