Swali: Bibi yangu ni mnaswara. Inajuzu kwangu kumpa zawadi na nyama katika ´Iyd-ul-Adhwhwaa?
Jibu: Ndio, inajuzu kufanya hivo. Mfanyie wema. Wazazi japo ni makafiri watendee wema. Bibi ni mzazi. Kwa hivyo mtendee wema.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
- Imechapishwa: 19/09/2017
Swali: Bibi yangu ni mnaswara. Inajuzu kwangu kumpa zawadi na nyama katika ´Iyd-ul-Adhwhwaa?
Jibu: Ndio, inajuzu kufanya hivo. Mfanyie wema. Wazazi japo ni makafiri watendee wema. Bibi ni mzazi. Kwa hivyo mtendee wema.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (59) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/16543
Imechapishwa: 19/09/2017
https://firqatunnajia.com/bibi-mnaswara/