Swali: Bibi yangu alikuwa haswali kutokana na uzembe na uvivu. Lakini alikuwa mwenye kumuamini Allaah na Mtume wake. Je, inafaa kwangu kumtakia rehema na kumfanyia ´Umrah?
Jibu: Hapana, yule ambaye haswali na wakati huohuo yuko na akili yake, kumbukumbu zake lakini akaacha swalah si muislamu. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Ahadi iliopo kati yetu na wao ni swalah. Hivyo basi yule mwenye kuiacha amekufuru.”
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.alfawzan.af.org.sa/ar/node/18252
- Imechapishwa: 17/07/2020
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket