Swali: Nina duka ambapo nauza nguo za wanawake. Ni ipi hukumu ya kufanya biashara na nguo hizi pamoja na kujua kuwa ni mavazi ya uchi?
Jibu: Haijuzu kuuza mavazi yasiyotiri. Ni haramu kwake kuuza mavazi yasiyositiri. Huku ni kusaidia shari, kujiachia na maasi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13965
- Imechapishwa: 26/06/2020
Swali: Nina duka ambapo nauza nguo za wanawake. Ni ipi hukumu ya kufanya biashara na nguo hizi pamoja na kujua kuwa ni mavazi ya uchi?
Jibu: Haijuzu kuuza mavazi yasiyotiri. Ni haramu kwake kuuza mavazi yasiyositiri. Huku ni kusaidia shari, kujiachia na maasi.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13965
Imechapishwa: 26/06/2020
https://firqatunnajia.com/biashara-ya-nguo-za-wanawake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket