Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya biashara na makafiri mbali na mayahudi na manaswara?
Jibu: Hakuna neno kufanya biashara na watu wote; mayahudi, manaswara na wengine:
وَأَحَلَّ اللَّـهُ الْبَيْعَ
”Allaah amehalalisha biashara.”[1]
Msingi ni kwamba inafaa. Kwa hiyo inafaa kufanya biashara na kila mtu, waislamu na makafiri.
[1] 02:275
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19)
- Imechapishwa: 29/01/2022
Swali: Ni ipi hukumu ya kufanya biashara na makafiri mbali na mayahudi na manaswara?
Jibu: Hakuna neno kufanya biashara na watu wote; mayahudi, manaswara na wengine:
وَأَحَلَّ اللَّـهُ الْبَيْعَ
”Allaah amehalalisha biashara.”[1]
Msingi ni kwamba inafaa. Kwa hiyo inafaa kufanya biashara na kila mtu, waislamu na makafiri.
[1] 02:275
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (19)
Imechapishwa: 29/01/2022
https://firqatunnajia.com/biashara-na-makafiri/