Swali: Kuna vijana wenye kutundika bendera na alama za nchi za makafiri kwenye magari yao. Je, hili linaiathiri Tawhiyd?
Jibu: Haijuzu. Haijuzu kuwa na alama za makafiri shingoni, kwenye nguo, kwenye gari na nyumbani. Hili halijuzu. Hili limeharamishwa khatari sana. Ikiwa anaonelea kuwa ni halali na anawaadhimisha makafiri na alama hizi ni kafiri.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20%20-%204%20-%201%20-%201436.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Kuna vijana wenye kutundika bendera na alama za nchi za makafiri kwenye magari yao. Je, hili linaiathiri Tawhiyd?
Jibu: Haijuzu. Haijuzu kuwa na alama za makafiri shingoni, kwenye nguo, kwenye gari na nyumbani. Hili halijuzu. Hili limeharamishwa khatari sana. Ikiwa anaonelea kuwa ni halali na anawaadhimisha makafiri na alama hizi ni kafiri.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (26) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathul%20%20-%204%20-%201%20-%201436.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/bendera-na-alama-za-nchi-za-makafiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket