Swali: Mimi ni imamu na Khatwiyb katika mji wangu. Je, ni wajibu kwangu kutahadharisha madhehebu ya Raafidhwah?
Jibu: Tahadharisha madhehebu yote ya batili. Kila dhehebu la batili tahadharisha nalo na wakati huo huo bainisha madhehebu sahihi. Bainisha yale waliyomo Salaf-us-Swaalih; Ahl-us-Sunnah wal-Jamaa´ah. Wabainishie watu. Sambamba na hilo bainisha batili ya madhehebu mengine yote.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13980
- Imechapishwa: 04/04/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)