Swali: Kuna watu wanaocha kuoa kwa ajili ya kuipa nyongo dunia. Je, huyu anazingatiwa ni mzushi au ni mwenye kwenda kinyume na Shari´ah?
Jibu: Huyu ni mwenye kwenda kinyume na Shari´ah. Kuoa kunatakikana. Kitu cha kwanza kunamuhifadhi mtu na tupu kutokamana na haramu. Pili ndani yake kunamfanya mtu kupata watoto. Tatu kunampa mtu usimamizi juu ya wanawake:
الرِّجَالُ قَوَّامُونَ عَلَى النِّسَاءِ
“Wanaume ni wasimamizi wa wanawake.”[1]
Katika kuoa kuna kheri nyingi.
[1] 04:34
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (79) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-9-2-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 05/03/2018
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket