Swali: Vipi kuhusu mfungaji aliyefanya jimaa mchana wa Ramadhaan, kisha akatoa kafara, kisha akafanya jmaa tena siku hiyo hiyo. ana jukumu gani?
Jibu: Analazima kutoa kafara ya pili.
Swali: Vipi kuhusu mfungaji aliyefanya jimaa siku mbili mfululizo bila kutoa kafara?
Jibu: Analazima kutoa kafara kwa ajili ya kila siku moja.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 128
- Imechapishwa: 05/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali: Vipi kuhusu mfungaji aliyefanya jimaa mchana wa Ramadhaan, kisha akatoa kafara, kisha akafanya jmaa tena siku hiyo hiyo. ana jukumu gani?
Jibu: Analazima kutoa kafara ya pili.
Swali: Vipi kuhusu mfungaji aliyefanya jimaa siku mbili mfululizo bila kutoa kafara?
Jibu: Analazima kutoa kafara kwa ajili ya kila siku moja.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 128
Imechapishwa: 05/03/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/baada-ya-kutoa-kafara-ya-jimaa-ameteleza-akafanya-tena/