Swali: Baada ya kupita juu ya Njia watu wataingia Peponi moja kwa moja au watakuwa kwenye daraja?
Jibu: Kuna daraja kabla ya kuingia kwao Peponi. Watafanyiwa hesabu waumini baina yao na kulipana kisasi. Haya yanawahusu waumini peke yao. Wakishasafishwa ndio wataidhinishwa kuingia Peponi. Hadiyth hii imekwishatangulia.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24388/ماذا-يكون-بعد-المرور-على-الصراط
- Imechapishwa: 05/10/2024
Swali: Baada ya kupita juu ya Njia watu wataingia Peponi moja kwa moja au watakuwa kwenye daraja?
Jibu: Kuna daraja kabla ya kuingia kwao Peponi. Watafanyiwa hesabu waumini baina yao na kulipana kisasi. Haya yanawahusu waumini peke yao. Wakishasafishwa ndio wataidhinishwa kuingia Peponi. Hadiyth hii imekwishatangulia.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24388/ماذا-يكون-بعد-المرور-على-الصراط
Imechapishwa: 05/10/2024
https://firqatunnajia.com/baada-ya-kupita-juu-ya-njia/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)