Swali: Ikiwa mtu ataendelea kufanya kufanya madhambi makubwa – je, atasamehewa madhambi madogo?
Jibu: Kama Mola wako:
إِن تَجْتَنِبُوا كَبَائِرَ مَا تُنْهَوْنَ عَنْهُ نُكَفِّرْ عَنكُمْ سَيِّئَاتِكُمْ وَنُدْخِلْكُم مُّدْخَلًا كَرِيمًا
“Mkijiepusha madhambi makubwa mnayokatazwa Tutakufutieni madhambi yenu madogo na Tutakuingizeni katika mahali patukufu.”[1]
Kwa maana ya madhambi madogo. Hiyo ni fadhilah kutoka kwa Allaah. Lakini watu wamekhitalifiana kuhusu mpaka wa dhambi kubwa; huenda mtu akadhani dhambi ni ndogo kumbe ni kubwa. Kwa hiyo inampasa ajiepushe na madhambi yote, makubwa na madogo, kwani anaweza kuangukia katika dhambi kubwa akidhani ni ndogo.
Swali: Ikiwa ataendelea na dhambi kubwa lakini akaswali swalah zake – je, zitasamehewa dhambi ndogo?
Jibu: Hapana, hazitasamehewa. Ni sharti kujiepusha na madhambi makubwa.
[1] 04:31
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31134/هل-تكفر-الصغاىر-للمصر-على-كبيرة
- Imechapishwa: 04/10/2025
Swali: Ikiwa mtu ataendelea kufanya kufanya madhambi makubwa – je, atasamehewa madhambi madogo?
Jibu: Kama Mola wako:
إِن تَجْتَنِبُوا كَبَائِرَ مَا تُنْهَوْنَ عَنْهُ نُكَفِّرْ عَنكُمْ سَيِّئَاتِكُمْ وَنُدْخِلْكُم مُّدْخَلًا كَرِيمًا
“Mkijiepusha madhambi makubwa mnayokatazwa Tutakufutieni madhambi yenu madogo na Tutakuingizeni katika mahali patukufu.”[1]
Kwa maana ya madhambi madogo. Hiyo ni fadhilah kutoka kwa Allaah. Lakini watu wamekhitalifiana kuhusu mpaka wa dhambi kubwa; huenda mtu akadhani dhambi ni ndogo kumbe ni kubwa. Kwa hiyo inampasa ajiepushe na madhambi yote, makubwa na madogo, kwani anaweza kuangukia katika dhambi kubwa akidhani ni ndogo.
Swali: Ikiwa ataendelea na dhambi kubwa lakini akaswali swalah zake – je, zitasamehewa dhambi ndogo?
Jibu: Hapana, hazitasamehewa. Ni sharti kujiepusha na madhambi makubwa.
[1] 04:31
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31134/هل-تكفر-الصغاىر-للمصر-على-كبيرة
Imechapishwa: 04/10/2025
https://firqatunnajia.com/atasamehewa-madhambi-madogo-ikiwa-ataendelea-kufanya-madhambi-makubwa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket