606 – Aliulizwa Shaykh wetu kuhusu kutapika kwa ambaye amekunywa hali ya kusimama?
Jibu: Ameipokea Muslim na hukumu hiyo imefutwa, kwani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikunywa akiwa amesimama wala hakutapika. Inawezekana vilevile ni dhana isiyo sahihi kutoka kwa baadhi ya wapokezi.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 215
- Imechapishwa: 12/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
606 – Aliulizwa Shaykh wetu kuhusu kutapika kwa ambaye amekunywa hali ya kusimama?
Jibu: Ameipokea Muslim na hukumu hiyo imefutwa, kwani Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikunywa akiwa amesimama wala hakutapika. Inawezekana vilevile ni dhana isiyo sahihi kutoka kwa baadhi ya wapokezi.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 215
Imechapishwa: 12/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/atapike-aliyekula-kwa-kusimama/