Ataoga pale atapohakikisha kuwa ni manii

101 – Nilimuuliza kuhusu mtu aliyekuta unyevunyevu katika nguo yake baada ya kulala na akawa na shaka kama ni manii au madhiy?

Jibu: Msingi kwa mtu aliyeona maji akiwa amelala ni kwamba asioge hadi awe na yakini kuwa ni manii.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 59
  • Imechapishwa: 15/03/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´