101 – Nilimuuliza kuhusu mtu aliyekuta unyevunyevu katika nguo yake baada ya kulala na akawa na shaka kama ni manii au madhiy?
Jibu: Msingi kwa mtu aliyeona maji akiwa amelala ni kwamba asioge hadi awe na yakini kuwa ni manii.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 59
- Imechapishwa: 15/03/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)