Swali: Mwanamke aliyepewa talaka anaishi na binti yake aliyekufa ubongo wake. Wanaume wengi wamemchumbia, lakini amewakataa kwa kukhofia kufanya mapungufu kwa sababu ya kumtunza msichana wake mgonjwa. Je, anatenda dhambi kwa kukataa kuolewa?

Jibu: Wajulishe wachumba. Ikiwa wanakubaliana nayo, hapana vibaya. Asiishi bila ya mume.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (44)
  • Imechapishwa: 18/07/2024