Swali: Je, ar-Rashiyd na al-Haafidhw ni katika Majina ya Allaah?
Jibu: Sijasikia haya. Kunasemwa ya kwamba Allaah ni Haafidhw.
فَاللَّـهُ خَيْرٌ حَافِظًا |
“Basi Allaah ni Mbora wa wenye kuhifadhi.” (12:64) |
اللَّـهُ حَفِيظٌ عَلَيْهِمْ |
“Allaah ni Mhifadhi wao.” (42:06) |
Kunasemwa kuwa Allaah ni Haafidhw. Ama kusema kuwa ni Jina sijui lolote kuhusu hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_04.mp3
- Imechapishwa: 31/05/2015
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)