Swali: Je, ar-Rashiyd na al-Haafidhw ni katika Majina ya Allaah?
Jibu: Sijasikia haya. Kunasemwa ya kwamba Allaah ni Haafidhw.
|
فَاللَّـهُ خَيْرٌ حَافِظًا |
|
“Basi Allaah ni Mbora wa wenye kuhifadhi.” (12:64) |
|
اللَّـهُ حَفِيظٌ عَلَيْهِمْ |
| “Allaah ni Mhifadhi wao.” (42:06) |
Kunasemwa kuwa Allaah ni Haafidhw. Ama kusema kuwa ni Jina sijui lolote kuhusu hilo.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_04.mp3
- Imechapishwa: 31/05/2015
Swali: Je, ar-Rashiyd na al-Haafidhw ni katika Majina ya Allaah?
Jibu: Sijasikia haya. Kunasemwa ya kwamba Allaah ni Haafidhw.
فَاللَّـهُ خَيْرٌ حَافِظًا
“Basi Allaah ni Mbora wa wenye kuhifadhi.” (12:64)
اللَّـهُ حَفِيظٌ عَلَيْهِمْ
“Allaah ni Mhifadhi wao.” (42:06)
Kunasemwa kuwa Allaah ni Haafidhw. Ama kusema kuwa ni Jina sijui lolote kuhusu hilo.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Aqiydat-is-Saffaariniyyah (04) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/sfranih_04.mp3
Imechapishwa: 31/05/2015
https://firqatunnajia.com/ar-raashiyd-na-al-haafidhw-ni-majina-ya-allaah__trashed/