Swali: Ni ipi hukumu ya kuondosha nywele za mikononi na miguuni kwa kuwa ni jambo lililoenea kwa wanawake wengi?
Jibu: Nywele za mwili ziko aina mbili:
1- Kuko ambazo ni wajibu kuziondosha; kama nywele za makwapani na nywele za sehemu za siri. Hili ni kwa mwanaume na kwa mwanamke. Vilevile kukata masharubu kwa mwanaume.
2- Nywele ambazo ni wajibu kuzibakiza; kope, nyusi, ndevu kwa mwanaume.
Kuna nywele ambazo zimenyamaziwa na imeruhusiwa; hizi ni kama nywele za miguuni na kwenye muundi. Ni sawa kuziondosha. Lakini hata hivyo kuziacha ni bora zaidi kwa kuwa akiziondosha ni jambo linaweza kumuudhi na zikawa zinakuwa kwa haraka. Hivyo akiziacha ni bora zaidi. Nywele kama hizi yameruhusiwa yote mawili, sawa kuziondosha na kuziacha.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://ar.islamway.net/lesson/138827/%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B1%D8%A3%D8%A9-%D8%AD%D9%82%D9%88%D9%82-%D9%88%D9%88%D8%A7%D8%AC%D8%A8%D8%A7%D8%AA?ref=s-pop
- Imechapishwa: 24/09/2020
Swali: Ni ipi hukumu ya kuondosha nywele za mikononi na miguuni kwa kuwa ni jambo lililoenea kwa wanawake wengi?
Jibu: Nywele za mwili ziko aina mbili:
1- Kuko ambazo ni wajibu kuziondosha; kama nywele za makwapani na nywele za sehemu za siri. Hili ni kwa mwanaume na kwa mwanamke. Vilevile kukata masharubu kwa mwanaume.
2- Nywele ambazo ni wajibu kuzibakiza; kope, nyusi, ndevu kwa mwanaume.
Kuna nywele ambazo zimenyamaziwa na imeruhusiwa; hizi ni kama nywele za miguuni na kwenye muundi. Ni sawa kuziondosha. Lakini hata hivyo kuziacha ni bora zaidi kwa kuwa akiziondosha ni jambo linaweza kumuudhi na zikawa zinakuwa kwa haraka. Hivyo akiziacha ni bora zaidi. Nywele kama hizi yameruhusiwa yote mawili, sawa kuziondosha na kuziacha.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://ar.islamway.net/lesson/138827/%D8%A7%D9%84%D9%85%D8%B1%D8%A3%D8%A9-%D8%AD%D9%82%D9%88%D9%82-%D9%88%D9%88%D8%A7%D8%AC%D8%A8%D8%A7%D8%AA?ref=s-pop
Imechapishwa: 24/09/2020
https://firqatunnajia.com/ar-raajhiy-mwanamke-kuondosha-nywele-za-mikononi-na-miguuni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)