Swali: Ni ipi hukumu ikiwa tutamuona kafiri akifanya kitendo cha yule mtu aliyekuwa na Swahabah, kisha akataka kuokoka akasema ”Laa ilaaha illa Allaah” na Allaah anajua zaidi kuhusu nia yake?
Jibu: Hatauawa. Akiisema na hakuwa akiisema kabla, basi inatakiwa kuchunguzwa hali yake. Hata kama ikidhaniwa kuwa aliisema kwa kujiepusha na kuuawa, kama alivyokataa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) maneno ya Usaamah alipomwambia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Aliisema kwa kujikinga.” Ndipo Mtume akamwambia: ”Je, uliupasua moyo wake?”
Basi ikiwa hakuwa akiisema kabisa kisha akaisema, inatakiwa asichukuliwe hatua hadi hali yake ichunguzwe.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31462/ما-العمل-تجاه-من-قال-لا-اله-الا-الله-تعوذا
- Imechapishwa: 24/10/2025
Swali: Ni ipi hukumu ikiwa tutamuona kafiri akifanya kitendo cha yule mtu aliyekuwa na Swahabah, kisha akataka kuokoka akasema ”Laa ilaaha illa Allaah” na Allaah anajua zaidi kuhusu nia yake?
Jibu: Hatauawa. Akiisema na hakuwa akiisema kabla, basi inatakiwa kuchunguzwa hali yake. Hata kama ikidhaniwa kuwa aliisema kwa kujiepusha na kuuawa, kama alivyokataa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) maneno ya Usaamah alipomwambia Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
”Aliisema kwa kujikinga.” Ndipo Mtume akamwambia: ”Je, uliupasua moyo wake?”
Basi ikiwa hakuwa akiisema kabisa kisha akaisema, inatakiwa asichukuliwe hatua hadi hali yake ichunguzwe.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31462/ما-العمل-تجاه-من-قال-لا-اله-الا-الله-تعوذا
Imechapishwa: 24/10/2025
https://firqatunnajia.com/anayetamka-shahaadah-kwa-ajili-ya-kuepuka-kifo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
