Anayekataa kutoa zakaah na yuko tayari kupigana kwa ajili ya hilo

57 – Nilimuuliza kuhusu anayekataa kutoa zakaah na akapigana juu ya hilo anataamiliwa kama aliyeritadi?

Jibu: Ndiyo, kwa sababu huku ni kukanusha. Lakini kujizuilia peke yake ni ubakhili ambao ni maasi.

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 44
  • Imechapishwa: 08/08/2025
  • Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´