Swali: Mwenye kuvaa soksi kwenye mguu wake wa kulia kabla ya kuosha mguu wake wa kushoto…
Jibu: Asifute juu yake mpaka azivae akiwa katika hali ya twahara, kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). al-Mughiyrah amesema:
“Siku moja wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anatawadha, nikakimbia ili nimvue soksi zake za ngozi. Ndipo akasema: “Ziache, hakika mimi nilizivaa nikiwa na twahara.” Kisha baada ya hapo akapangusa juu yake.”
Miguu haijakuwa na twahara akivaa soksi moja kabla ya kuosha mguu mwingine.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
- Imechapishwa: 27/10/2019
Swali: Mwenye kuvaa soksi kwenye mguu wake wa kulia kabla ya kuosha mguu wake wa kushoto…
Jibu: Asifute juu yake mpaka azivae akiwa katika hali ya twahara, kama alivosema Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). al-Mughiyrah amesema:
“Siku moja wakati Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa anatawadha, nikakimbia ili nimvue soksi zake za ngozi. Ndipo akasema: “Ziache, hakika mimi nilizivaa nikiwa na twahara.” Kisha baada ya hapo akapangusa juu yake.”
Miguu haijakuwa na twahara akivaa soksi moja kabla ya kuosha mguu mwingine.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (17) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdtf-08011435.mp3
Imechapishwa: 27/10/2019
https://firqatunnajia.com/anavaa-soksi-kuliani-kabla-ya-kuosha-mguu-wa-kushotoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket