Swali: Je, inampasa kukamilisha swawm ikiwa mfungaji analipa masiku yake ya Ramadhaan kisha akataka kufungua na kufunga siku nyingine badala ya siku hii?
Jibu: Kinachotambulika kwa wanazuoni ni kwamba ameshaanza ´ibaadah ya faradhi na hivyo inampasa aikamilishe. Haijuzu kwake kufungua isipokuwa kutokana na udhuru, kama ugonjwa uliompata, safari au tukio jingine. Vinginevyo ni wajibu kwake kukamilisha swawm ya faradhi kama kulipa Ramadhaan au nadhiri. Aikamilishe na asifungue isipokuwa kwa sababu inayomruhusu kufungua.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1247/حكم-من-شرع-في-صيام-القضاء-ثم-اراد-ان-يفطر
- Imechapishwa: 08/02/2026
Swali: Je, inampasa kukamilisha swawm ikiwa mfungaji analipa masiku yake ya Ramadhaan kisha akataka kufungua na kufunga siku nyingine badala ya siku hii?
Jibu: Kinachotambulika kwa wanazuoni ni kwamba ameshaanza ´ibaadah ya faradhi na hivyo inampasa aikamilishe. Haijuzu kwake kufungua isipokuwa kutokana na udhuru, kama ugonjwa uliompata, safari au tukio jingine. Vinginevyo ni wajibu kwake kukamilisha swawm ya faradhi kama kulipa Ramadhaan au nadhiri. Aikamilishe na asifungue isipokuwa kwa sababu inayomruhusu kufungua.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1247/حكم-من-شرع-في-صيام-القضاء-ثم-اراد-ان-يفطر
Imechapishwa: 08/02/2026
https://firqatunnajia.com/anataka-kufungua-swawm-anayolipa-ya-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket