Swali: Vipi kwa ambaye anaacha safu ya kwanza kwa kuogopa kujionyesha?
Jibu: Hapana, hili ni batili na ujinga. Huko hakuhusiani na kujionyesha. Huko kunahusiana, kwa mujibu wa madai yake, eti ni kuogopa kujionyesha. Hilo ni kosa. Anatakiwa kupupia safu ya kwanza na kulingania kwa Allaah na sambamba na hayo ajihadhari na kujionyesha.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24504/حكم-ترك-الطاعة-مخافة-الرياء
- Imechapishwa: 19/10/2024
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)