Swali: Kuna mtu aliweka nadhiri Allaah akimponya mtoto wake basi atasimama kuswali kwa muda wa nyusiku tano. Lakini alifanya uvivu…
Jibu: Kwa hali yoyote anatakiwa kusimama nyusiku tano. Huku ndivo shaytwaan anavyokuchezea. Allaah amekukirimu na wewe unafanya ubakhili?
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdullaah bin ´Abdir-Rahmaan al-Ghudayyaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Waqafaat ma´aa Hadiyth tatadaa´ alaykum-ul-Umamu https://godian.af.org.sa/sites/default/files/2017-09/wgfaaat.mp3
- Imechapishwa: 23/09/2022
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)