Swali: Nimemchumbia msichana kisha nikavunja uchumba, halafu nikamuoa mama yake. Je, kwa mtazamo wa Shari´ah hili ni halali au haramu?
Jibu: Ikiwa alimchumbia mwanamke kisha akaacha uchumba kabla ya kufunga ndoa, halafu akamuoa mama yake, hakuna tatizo. Ama ikiwa alishafunga ndoa na msichana, basi mama yake anakuwa haramu kwake. Lakini ikiwa hakukuwa na kufunga ndoa, bali ilikuwa ni uchumba tu, kisha akaacha na akamuoa mama yake, hakuna tatizo katika hilo.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1793/حكم-الزواج-بام-من-فسخت-خطوبتها
- Imechapishwa: 19/12/2025
Swali: Nimemchumbia msichana kisha nikavunja uchumba, halafu nikamuoa mama yake. Je, kwa mtazamo wa Shari´ah hili ni halali au haramu?
Jibu: Ikiwa alimchumbia mwanamke kisha akaacha uchumba kabla ya kufunga ndoa, halafu akamuoa mama yake, hakuna tatizo. Ama ikiwa alishafunga ndoa na msichana, basi mama yake anakuwa haramu kwake. Lakini ikiwa hakukuwa na kufunga ndoa, bali ilikuwa ni uchumba tu, kisha akaacha na akamuoa mama yake, hakuna tatizo katika hilo.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1793/حكم-الزواج-بام-من-فسخت-خطوبتها
Imechapishwa: 19/12/2025
https://firqatunnajia.com/amevunja-uchumba-wa-msichana-na-ameamua-kumuoa-mama-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket