Swali: Ni ip hukumu ya mwenye kula, kunywa au kufanya jimaa hali ya kutilia shaka kwamba jua limekwishazama au alfajiri haijaingia?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba analazimika kulipa. Kama alifanya jimaa analazimika vilevile kutoa kafara kwa mujibu wa wanachuoni wengi. Yote haya ni kwa ajili ya kufunga njia watu wasije kuchukulia wepesi na ni salama zaidi kwa ajili ya funga.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Tuhfat-ul-Ikhwaan, uk. 180
- Imechapishwa: 02/06/2019
Swali: Ni ip hukumu ya mwenye kula, kunywa au kufanya jimaa hali ya kutilia shaka kwamba jua limekwishazama au alfajiri haijaingia?
Jibu: Maoni ya sawa ni kwamba analazimika kulipa. Kama alifanya jimaa analazimika vilevile kutoa kafara kwa mujibu wa wanachuoni wengi. Yote haya ni kwa ajili ya kufunga njia watu wasije kuchukulia wepesi na ni salama zaidi kwa ajili ya funga.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Tuhfat-ul-Ikhwaan, uk. 180
Imechapishwa: 02/06/2019
https://firqatunnajia.com/ametilia-shaka-kuzama-kwa-jua-na-kuchomoza-kwa-alfajiri/