755- Nilimuuliza Ahmad kuhusu mtu ambaye ameswali Maghrib Rak´ah nne kimakosa na amekumbuka hilo alipokuwa ameketi katika Tashahhud. Akajibu:
“Alete sijda mbili za kusahau. Hivyo swalah yake itakuwa yenye kukamilika.”
- Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 160
- Imechapishwa: 26/03/2021
755- Nilimuuliza Ahmad kuhusu mtu ambaye ameswali Maghrib Rak´ah nne kimakosa na amekumbuka hilo alipokuwa ameketi katika Tashahhud. Akajibu:
“Alete sijda mbili za kusahau. Hivyo swalah yake itakuwa yenye kukamilika.”
Muhusika: Imaam Abu Daawuud Sulaymaan bin al-Ash´ath as-Sijistaaniy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ahmad, uk. 160
Imechapishwa: 26/03/2021
https://firqatunnajia.com/ameswali-maghrib-rakah-nne-kimakosa/