Swali: Nilipanda ndege nikiwa na mavazi ya Ihraam na nikajitia manukato. Wakati nilipokuwa nasubiri ndege itangaze kuwa tumefika miyqaat nikapitiwa na usingizi na sikuamka isipokuwa baada ya ndege kutua. Kipi kinachonilazimu?
Jibu: Ulifanya nini pindi ulipoamka? Ni wajibu kwako kurudi miyqaat. Hukunuia Ihraam. Rudi miyqaat na uhirimie kutoka hapo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
- Imechapishwa: 10/09/2017
Swali: Nilipanda ndege nikiwa na mavazi ya Ihraam na nikajitia manukato. Wakati nilipokuwa nasubiri ndege itangaze kuwa tumefika miyqaat nikapitiwa na usingizi na sikuamka isipokuwa baada ya ndege kutua. Kipi kinachonilazimu?
Jibu: Ulifanya nini pindi ulipoamka? Ni wajibu kwako kurudi miyqaat. Hukunuia Ihraam. Rudi miyqaat na uhirimie kutoka hapo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (70) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighatsah%20-%2019%20-0%207%20-%201438.mp3
Imechapishwa: 10/09/2017
https://firqatunnajia.com/ameshtuka-baada-ya-kupita-kituo/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)