Swali 641: Vipi kuhusu mtu aliyeweka nadhiri ya kufunga kila mwaka siku kumi, lakini akashindwa?
Jibu: Atalipa kafara ya kiapo, kama alivyosema Ibn ´Abbaas. Hakuna anayejulikana kwamba amempinga. Kuna maoni mengine yanayosema kuwa atatoa chakula kwa maskini mmoja kwa kila siku.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 225
- Imechapishwa: 18/06/2025
- Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
Swali 641: Vipi kuhusu mtu aliyeweka nadhiri ya kufunga kila mwaka siku kumi, lakini akashindwa?
Jibu: Atalipa kafara ya kiapo, kama alivyosema Ibn ´Abbaas. Hakuna anayejulikana kwamba amempinga. Kuna maoni mengine yanayosema kuwa atatoa chakula kwa maskini mmoja kwa kila siku.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Masaa-il-ul-Imaam Ibn Baaz, uk. 225
Imechapishwa: 18/06/2025
Mkusanyaji: Shaykh Abiy Muhammad ´Abdullaah bin Maaniy´
https://firqatunnajia.com/ameshindwa-kutimiza-nadhiri-ya-kufunga-siku-10-kila-mwaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket