Swali: Wakati wa wudhuu´ nilisahau kupangusa kichwa changu na nikaosha miguu. Je, ni lazima nirudie wudhuu´ wote au nipake kichwa kisha nioshe miguu tena?
Jibu: Unapaswa kupaka kichwa chako na masikio yako, kisha urudie kuosha miguu ikiwa umekumbuka kabla ya kupita muda mrefu. Ikiwa muda umekuwa mrefu, basi unapaswa kurudia wudhuu´ kuanzia mwanzo, kwa sababu kufuatisha viungo bila kukatiza ni faradhi miongoni mwa faradhi za wudhuu´.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/103)
- Imechapishwa: 19/02/2026
Swali: Wakati wa wudhuu´ nilisahau kupangusa kichwa changu na nikaosha miguu. Je, ni lazima nirudie wudhuu´ wote au nipake kichwa kisha nioshe miguu tena?
Jibu: Unapaswa kupaka kichwa chako na masikio yako, kisha urudie kuosha miguu ikiwa umekumbuka kabla ya kupita muda mrefu. Ikiwa muda umekuwa mrefu, basi unapaswa kurudia wudhuu´ kuanzia mwanzo, kwa sababu kufuatisha viungo bila kukatiza ni faradhi miongoni mwa faradhi za wudhuu´.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (10/103)
Imechapishwa: 19/02/2026
https://firqatunnajia.com/amesahau-kupangusa-kichwa-wakati-wa-kutawadha/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket