Swali: Nilisahau kusoma al-Faatihah katika Rak´ah ya pili katika swalah ya ´Aswr. Ni kipi cha wajibu juu yangu?
Jibu: Swali Rak´ah nyingine badala yake. Umeacha nguzo yake. Unatakiwa kuswali Rak´ah nyingine baada ya salamu. Ikiwa hukumbuka isipokuwa baada ya kupita muda basi unatakiwa kuirudi swalah nzima. Kwa sababu haikusihi.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (14) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-03-11-1434.mp3
- Imechapishwa: 22/06/2019
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket