Swali: Ikiwa ataona sehemu haikupata maji kwenye kisigino akiwa ndani ya swalah anatakiwa kutoka kwenye swalah na kurudia wudhuu´?
Jibu: Ndio, ikiwa ameona sehemu hiyo, basi wudhuu´ wake ni batili. Kufuatanisha viungo kumevunjika. Kwa hivyo anatakiwa kurudia wudhuu´.
Swali: Vipi ikiwa ataiona baada ya kumaliza swalah yake?
Jibu: Arudie wudhuu´ na pia arudie swalah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31517/ماذا-يفعل-من-راى-لمعة-في-عقبه-لم-يصلها-الماء
- Imechapishwa: 30/10/2025
Swali: Ikiwa ataona sehemu haikupata maji kwenye kisigino akiwa ndani ya swalah anatakiwa kutoka kwenye swalah na kurudia wudhuu´?
Jibu: Ndio, ikiwa ameona sehemu hiyo, basi wudhuu´ wake ni batili. Kufuatanisha viungo kumevunjika. Kwa hivyo anatakiwa kurudia wudhuu´.
Swali: Vipi ikiwa ataiona baada ya kumaliza swalah yake?
Jibu: Arudie wudhuu´ na pia arudie swalah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/31517/ماذا-يفعل-من-راى-لمعة-في-عقبه-لم-يصلها-الماء
Imechapishwa: 30/10/2025
https://firqatunnajia.com/ameona-kiungo-fulani-hakikupata-maji/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
