Swali: Kuna mtu alikusudia kutoka Minaa tarehe 12 ambapo akakwama kwenye trafiki na hivyo jua likamzamia…
Jibu: Kama yuko njiani, anazingatiwa kuwa amekwishatoka. Hakuna neno. Aendelee na safari yake, kwa sababu trafiki ndio imemkwamisha. Midhali amekwishachukua mabegi yake na kuondoka, hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 14/06/2020
Swali: Kuna mtu alikusudia kutoka Minaa tarehe 12 ambapo akakwama kwenye trafiki na hivyo jua likamzamia…
Jibu: Kama yuko njiani, anazingatiwa kuwa amekwishatoka. Hakuna neno. Aendelee na safari yake, kwa sababu trafiki ndio imemkwamisha. Midhali amekwishachukua mabegi yake na kuondoka, hakuna neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (23) https://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Umdah-13-2-1435-01.mp3
Imechapishwa: 14/06/2020
https://firqatunnajia.com/amekwama-kwenye-foleni-minaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)