Swali: Mswaliji akisahau kuweka nia na akaikumbuka katikati ya swalah inatosha kule kuileta katika hali hii?
Jibu: Ni vipi amekuja akatawadha, akasimama na kuswali bila ya kuweka nia? Hii ni dalili yenye kuonyesha kuwa aliweka nia. Haitakiwi kuwa na wasiwasi. Kule kutia kwake wudhuu´, kuja kwake, kusimama kwake na kuleta kwake Takbiyr ni dalili inayoonyesha kuwa aliweka nia.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
- Imechapishwa: 16/04/2017
Swali: Mswaliji akisahau kuweka nia na akaikumbuka katikati ya swalah inatosha kule kuileta katika hali hii?
Jibu: Ni vipi amekuja akatawadha, akasimama na kuswali bila ya kuweka nia? Hii ni dalili yenye kuonyesha kuwa aliweka nia. Haitakiwi kuwa na wasiwasi. Kule kutia kwake wudhuu´, kuja kwake, kusimama kwake na kuleta kwake Takbiyr ni dalili inayoonyesha kuwa aliweka nia.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (9) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340506.mp3
Imechapishwa: 16/04/2017
https://firqatunnajia.com/amekumbuka-kuwa-hakuweka-nia-katikati-ya-swalah/