Swali: Mume akimwambia mke wake kwamba hatochukua chochote kutoka katika pesa zake wala hatokula chochote na kwamba ni haramu kwake na baadaye akala. Kuna chochote kinachomlazimu? Je, analazimika kutoka kafara?
Jibu: Kama alisema ni haramu kwake, basi atoe kafara ya yamini.
- Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
- Imechapishwa: 29/06/2018
Swali: Mume akimwambia mke wake kwamba hatochukua chochote kutoka katika pesa zake wala hatokula chochote na kwamba ni haramu kwake na baadaye akala. Kuna chochote kinachomlazimu? Je, analazimika kutoka kafara?
Jibu: Kama alisema ni haramu kwake, basi atoe kafara ya yamini.
Muhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (85) http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17635
Imechapishwa: 29/06/2018
https://firqatunnajia.com/amejiharamishia-pesa-ya-mke-wake/