Swali: Kafa baba yake kwa maradhi yake katika Shawwaal na hakufunga Ramadhaan ya kabla yake. Upi wajibu wetu?
Jibu: Maadamu alishikwa na maradhi, hamna wajibu wowote. Hili limepokelewa kwa maafikiano – kama al-Baghawiy (Rahimahu Allaah).
- Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://alwasabi.al3ilm.com/alfatawaa
- Imechapishwa: 10/05/2020
Swali: Kafa baba yake kwa maradhi yake katika Shawwaal na hakufunga Ramadhaan ya kabla yake. Upi wajibu wetu?
Jibu: Maadamu alishikwa na maradhi, hamna wajibu wowote. Hili limepokelewa kwa maafikiano – kama al-Baghawiy (Rahimahu Allaah).
Muhusika: ´Allaamah Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab al-Wasswaabiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://alwasabi.al3ilm.com/alfatawaa
Imechapishwa: 10/05/2020
https://firqatunnajia.com/amefariki-shawwaal-kabla-ya-kulipa-ramadhaan-ya-mwaka-hana/