Swali: Mwanaume alikwenda kwa Qaadhiy kuthibitisha kuona mwezi mwandamo lakini hakukubali uadilifu wake. Je, inamlazimu mwanaume huyu kufunga?
Jibu: Asifunge isipokuwa pamoja na watu, kama alivyosema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Funga siku ambayo mnawafunga.”
Ikiwa watu watafunga, basi afunge pamoja nao.
Swali: Lakini ameona mwezi mwandamo?
Jibu: Haijalishi kitu, maadamu ushahidi wake umekataliwa basi asifunge wala kufungua isipokuwa pamoja na watu. Haya ndio maoni yenye nguvu.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/25435/هل-يصوم-من-راى-الهلال-ولو-ردت-شهادته
- Imechapishwa: 20/03/2025
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)