Swali: Ikiwa umefika katika Rak´ah ya mwisho na kupata Rak´ah na Tashahhud pamoja na imamu na mimi niko katika swalah ya Maghrib, kisha nikafika katika Rak´ah ya pili na nikafika katika sehemu ya Tashahhud?
Jibu: Unakaa baada ya Rak´ah ya pili na baada ya Tashahhud wa kwanza, kisha unasimama na kuswali Rak´ah ya tatu kwa kusoma al-Faatihah.
- Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1223/حكم-من-ادرك-الامام-في-الركعة-الاخيرة
- Imechapishwa: 08/02/2026
Swali: Ikiwa umefika katika Rak´ah ya mwisho na kupata Rak´ah na Tashahhud pamoja na imamu na mimi niko katika swalah ya Maghrib, kisha nikafika katika Rak´ah ya pili na nikafika katika sehemu ya Tashahhud?
Jibu: Unakaa baada ya Rak´ah ya pili na baada ya Tashahhud wa kwanza, kisha unasimama na kuswali Rak´ah ya tatu kwa kusoma al-Faatihah.
Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/1223/حكم-من-ادرك-الامام-في-الركعة-الاخيرة
Imechapishwa: 08/02/2026
https://firqatunnajia.com/ambaye-amejiunga-na-imamu-katika-rakah-ya-mwisho/
Mshirikishe mwenzako:
- Share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Print (Opens in new window) Print
- Email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Share on X (Opens in new window) X
- Share on Pocket (Opens in new window) Pocket