Swali: Ni kina nani ambao hawajumuishwi na uombezi?

Jibu: Makafiri. Kuna watenda madhambi ambao hawatopata uombezi. Hata hivyo Allaah atawatoa humo kwa usiokuwa uombezi. Hilo ni kutokana na fadhilah Zake (Subhaanah).

  • Muhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
  • Tarjama: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/24567/من-الذين-لا-تشملهم-الشفاعة
  • Imechapishwa: 03/11/2024